Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

1Wafalme 7:41-44 in Swahili (individual language)

Help us?

1Wafalme 7:41-44 in Biblia ya Kiswahili

41 Zile nguzo mbili, na lile besini lakawa kama taji ambalo lilikuwa juu ya zile nguzo, na nyavu mbili za mapambo za kufunika zile besini mbili za kuwa kama taji zilizokuwa juu ya nguzo.
42 Kisha akatengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu mbili za mapambo: safu mbili za makomamamanga kwa kila kazi ya nyavu kwa ajili ya kufunikia zile besini mbili kama taji iliyo juu ya nguzo,
43 yale makalio kumi, na birika kumi kwenye makalio.
44 Akatengeneza bahari na makisai kumi chini yake;
1Wafalme 7 in Biblia ya Kiswahili