Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Warumi - Warumi 6

Warumi 6:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Hivyo, kwa kuwa alikufa—mara moja tu—dhambi haina nguvu tena juu yake; na sasa anaishi maisha yake katika umoja na Mungu.
11Hali kadhalika nanyi lazima mjione kuwa mmekufa kuhusu dhambi, lakini kama mnaoishi katika umoja na Mungu kwa njia ya Kristo Yesu.
12Kwa hiyo, dhambi isiitawale tena miili yenu ambayo hufa, na hivyo kuzitii tamaa zake.

Read Warumi 6Warumi 6
Compare Warumi 6:10-12Warumi 6:10-12