Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Matendo ya Mitume - Matendo ya Mitume 8

Matendo ya Mitume 8:11-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Wakamsikiliza, kwa maana amewashangaza muda mrefu kwa uchawi wake.
12Lakini wakati walipoamini kuwa Filipo alihubiri juu ya ufalme wa Mungu na juu ya jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanaume kwa wanawake.
13Na Simoni mwenyewe aliamini: baada ya kubatizwa, aliendelea kuwa na Filipo; alipoona ishara na miujiza iliyokuwa ikitendeka, alishangaa.
14Wakati mitume wa Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria imepokea neno la Mungu, wakawatuma Petro na Yohana.
15Wakati walipokuwa wakishuka wakawaombea; kwamba wampokee Roho Mtakatifu.
16Mpaka muda huo, Roho Mtakatifu alikuwa hajawashukia hata mmoja wao; walikuwa tu wamebatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
17Ndipo Petro na Yohana wakawawekea mikono, nao wakampokea Roho Mtakatifu.

Read Matendo ya Mitume 8Matendo ya Mitume 8
Compare Matendo ya Mitume 8:11-17Matendo ya Mitume 8:11-17