23Walipo wateua kwa ajili yao wazee wa kila kusanyiko la waaminio, na wakiwa wameomba na kufunga, waliwakabidhi kwa Bwana, ambaye wao walimwamini.
24Kisha walipita katika Pisidia, walifika Pamfilia.
25Wakati walipoongea maneno katika Perga, waliteremka kwenda Atalia.