Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 14

Matendo 14:23-25

Help us?
Click on verse(s) to share them!
23Waliteua wazee katika kila kanisa kwa ajili ya waumini, na baada ya kusali na kufunga, wakawaweka chini ya ulinzi wa Bwana ambaye walikuwa wanamwamini.
24Baada ya kupitia katika nchi ya Pisidia, walifika Pamfulia.
25Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.

Read Matendo 14Matendo 14
Compare Matendo 14:23-25Matendo 14:23-25