Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Marko - Marko 8

Marko 8:22-26

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Wakaja Bethsaida. Watu hao walimleta kwa Yesu mtu kipofu na wakamsihi Yesu amguse.
23Yesu akamshika kwa mkono yule kipofu, na kumwongoza nje ya kijiji. Alipotema mate juu ya macho yake na kunyosha mikono yake juu yake, alimuuliza, “Unaona chochote?”
24Alitazama juu na kusema, “Naona watu wanaonekana kama miti inatembea.”
25Ndipo akanyosha tena mikono yake juu ya macho yake, mtu yule akafungua macho yake, aliona tena, na akaona kila kitu vizuri.
26Yesu alimwacha aende nyumbani na akamwambia, “Usiingie mjini.”

Read Marko 8Marko 8
Compare Marko 8:22-26Marko 8:22-26