Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Warumi - Warumi 16

Warumi 16:20-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Naye Mungu aliye chanzo cha amani hatakawia kumponda Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
21Timotheo, mfanyakazi mwenzangu, anawasalimu. Hali kadhalika Lukio, Yasoni, na Sosipatro, wananchi wenzangu, wanawasalimu.
22Nami Tertio, ninayeandika barua hii nawasalimuni katika Bwana.
23Gayo, mwenyeji wangu, pamoja na kanisa lote linalokutana kwake, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto, wanawasalimu.
24Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amina.

Read Warumi 16Warumi 16
Compare Warumi 16:20-24Warumi 16:20-24