35Filipo alianza kuongea, alianza kwa andiko hili la Isaya kumhubiria habari za Yesu.
36Wakiwa njiani, wakafika penye maji,' towashi akasema, “Tazama, pana maji hapa nini kinazuia nisibatizwe?,
37maneno haya, “Hivyo Muethiopia akajibu “naamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,” hayamo kwenyemaandiko ya kale). Ndipo Muethiopia akaamuru gari lisimame.
38Walikwenda ndani ya maji, pamoja Filipo na towashi, Filipo akambatiza.