Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Matendo ya Mitume - Matendo ya Mitume 8

Matendo ya Mitume 8:3-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Lakini Sauli alilidhuru sana kanisa. Alikwenda nyumba kwa nyumba na kuwaburuza nje wanawake na waume, na kuwatupia gerezani.
4waaminio ambao walikuwa wametawanyika bado walilihubiri neno.
5Filipo akashuka katika mji wa Samaria na akamtangaza Kristo huko.
6Baada ya makutano kusikia na kuona ishara alizofanya Filipo; wakaweka umakini juu ya kile alichosema.

Read Matendo ya Mitume 8Matendo ya Mitume 8
Compare Matendo ya Mitume 8:3-6Matendo ya Mitume 8:3-6