3Lakini Sauli alilidhuru sana kanisa. Alikwenda nyumba kwa nyumba na kuwaburuza nje wanawake na waume, na kuwatupia gerezani.
4waaminio ambao walikuwa wametawanyika bado walilihubiri neno.
5Filipo akashuka katika mji wa Samaria na akamtangaza Kristo huko.
6Baada ya makutano kusikia na kuona ishara alizofanya Filipo; wakaweka umakini juu ya kile alichosema.