Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Matendo ya Mitume - Matendo ya Mitume 23

Matendo ya Mitume 23:29-33

Help us?
Click on verse(s) to share them!
29Nikaona kwamba alikuwa ameshitakiwa kwa ajili ya maswali ya sheria yao, wala hakushitakiwa neno lolote la kustahili kuuawa wala kufungwa.
30Kisha ikajulikana kwangu kwamba kuna njama dhidi yake, hivyo kwa haraka nikamtuma kwako, na kuwaagiza wanaomshitaki pia walete mashitaka dhidi yake mbele yako. Wakaagana.”
31Basi wale askari wakatii amri: wakamchukua Paulo wakampeleka hata Antipatri usiku.
32Siku iliyofuata, maaskari wengi wakawaacha wale wapanda farasi waende pamoja naye, nao wakarudi zao ngomeni.
33Na wapanda farasi walipofika Kaisaria, na kumpa liwali ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.

Read Matendo ya Mitume 23Matendo ya Mitume 23
Compare Matendo ya Mitume 23:29-33Matendo ya Mitume 23:29-33