34Lakini ilionekana vyema Sila kubaki huko
35Lakini Paulo na wengine walikaa Antiokia pamoja na wengine wengi, ambapo walifundisha na kuhubiri neno la Bwana.
36Baada ya siku kadhaa Paulo alisema kwa Barnaba, “Na turudi sasa na kuwatembelea ndugu katika kila mji tulipohubiri neno la Bwana, na kuwaona walivyo.
37Barnaba alihitaji pia kumchukua pamoja nao Yohana aliyeitwa Marko.