Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 8

Luka 8:9-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Wanafunzi wake wakamwuliza Yesu maana ya mfano huo.
10Naye akajibu, “Ninyi mmejaliwa kujua siri za Ufalme wa Mungu, lakini hao wengine sivyo; ila hao huambiwa kwa mifano, ili wakitazama wasiweze kuona, na wakisikia wasifahamu.
11“Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.

Read Luka 8Luka 8
Compare Luka 8:9-11Luka 8:9-11