Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 8

Luka 8:9-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Tena wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo,
10Yesu akawaambia, “Mmepewa upendeleo wa kujua siri ya ufalme wa Mungu, lakini watu wengine watafundishwa tu kwa mifano, ili kwamba 'wakiona wasione na wakisikia wasielewe.'
11Na hii ndiyo maana ya mfano huu. Mbegu ni neno la Mungu.

Read Luka 8Luka 8
Compare Luka 8:9-11Luka 8:9-11