Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 19

Luka 19:6-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
7Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, “Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi.”
8Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
9Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
10Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”

Read Luka 19Luka 19
Compare Luka 19:6-10Luka 19:6-10