Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 17

Luka 17:4-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, 'ninatubu,' msamehe!”
5Mitume wake wakamwambia Bwana, “tuongezee imani yetu.”
6Bwana akasema, “kama mgekuwa na imani kama punje ya haradarii, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, 'n'goka na ukaote baharini,' nao ungewatii.
7Lakini nani miongoni mwenu, ambaye ana mtumishi anayelima shamba au anayechunga kondoo, atamwambia arudipo shambani, 'Njoo haraka na keti ule chakula?
8Je hatamwambia, 'Niandalie chakula nile, na jifunge mkanda na unitumikie mpaka nitakapo maliza kula na kunywa. Baada ya hapo uta kula na kunywa?

Read Luka 17Luka 17
Compare Luka 17:4-8Luka 17:4-8