Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 15

Luka 15:26-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: Kuna nini?
27Huyo mtumishi akamwambia: Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.
28Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie.

Read Luka 15Luka 15
Compare Luka 15:26-28Luka 15:26-28