26Akaita mtumishi mmoja akamuuliza mambo haya maana yake nini?
27Mtumishi akamwambia mdogo wako amekuja na baba yako amemchinjia ndama aliyenona kwa sababu amerudi salama.'
28Mwana mkubwa akakasirika akakataa kuingia ndani na babaye alitoka nje kumsihi.