Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - 1Wafalme - 1Wafalme 6

1Wafalme 6:33-37

Help us?
Click on verse(s) to share them!
33Kwa njia hii, akalitengenezea hekalu miimo miwili ya mbao za mizeituni yenye pande nne
34na milango miwili ya mbao za mierezi. Zile mbao mbili za mlango mmoja zilikuwa zikijikunja na mbao mbili za mlango wa pili nazo zilikuwa zikijikunja pia.
35Akazinakshi kwa makerubi, mitende, na maua yaliyochanua, na pia akazisakafia kwa dhahabu juu ya zile nakshi.
36Akalijengs Korido la ndani kwa safu tatu za mawe ya kuchongwa na safu moja ya mhimili wa mierezi.
37Msingi wa hekalu ulijengwa katika mwaka wa nne, wa mwezi wa Ziv.

Read 1Wafalme 61Wafalme 6
Compare 1Wafalme 6:33-371Wafalme 6:33-37