Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - 1Wafalme - 1Wafalme 4

1Wafalme 4:16-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Baana mwana wa Hushai, ya Asherina Bealothi;
17Yehoshafati mwana wa Paruha, kwa Isakari;
18Shimei mwana wa Ela, wa Benjamini;
19na Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi, ambayo ni nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na Ogi mfalme wa Bashani, na yeye ndiye akida pekee aliyekuwa katika nchi hiyo.
20Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa baharini. Nao walikuwa wakila na kunywa na kufurahi.

Read 1Wafalme 41Wafalme 4
Compare 1Wafalme 4:16-201Wafalme 4:16-20