Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 16

Yohana 16:26-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Siku hiyo mtaomba kwa jina langu, na siwaambii kwamba nitaomba kwa Baba kwa ajili yenu;
27Kwa kuwa Baba mwenyewe anawapenda kwa sababu mmenipenda mimi na kwa sababu mmeniamini kuwa nimetoka kwa Baba.
28Nilitoka kwa Baba na nimekuja ulimwenguni; tena, naondoka ulimwenguni na ninaenda kwa Baba”.
29Wanafunzi wake wakamwambia, “Unaona, sasa unaongea wazi wazi na hautumii mafumbo.

Read Yohana 16Yohana 16
Compare Yohana 16:26-29Yohana 16:26-29