Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Warumi - Warumi 11

Warumi 11:7-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Sasa, je? Watu wa Israeli hawakukipata kile walichokuwa wanakitafuta; lakini wote walioteuliwa walikipata. Wengine walipumbazwa,
8kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao.”
9Naye Daudi anasema: “Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa.

Read Warumi 11Warumi 11
Compare Warumi 11:7-9Warumi 11:7-9