Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Ufunuo - Ufunuo 19

Ufunuo 19:10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Nilisujudu mbele ya miguu yake nikamwabudu, lakini akaniambia, “Usifanye hivi! Mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako mwenye kuushika ushuhuda wa Yesu. Mwabudu Mungu, kwa kuwa ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.”

Read Ufunuo 19Ufunuo 19
Compare Ufunuo 19:10Ufunuo 19:10