Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Ufunuo 19:10 in Swahili (individual language)

Help us?

Ufunuo 19:10 in Biblia Takatifu

10 Basi, mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake nikataka kumwabudu. Lakini yeye akaniambia, “Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunauzingatia ukweli ule alioufunua Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia manabii.”
Ufunuo 19 in Biblia Takatifu

Ufunuo 19:10 in Biblia ya Kiswahili

10 Nilisujudu mbele ya miguu yake nikamwabudu, lakini akaniambia, “Usifanye hivi! Mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako mwenye kuushika ushuhuda wa Yesu. Mwabudu Mungu, kwa kuwa ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.”
Ufunuo 19 in Biblia ya Kiswahili