Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Ufunuo - Ufunuo 19

Ufunuo 19:10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Basi, mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake nikataka kumwabudu. Lakini yeye akaniambia, “Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunauzingatia ukweli ule alioufunua Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia manabii.”

Read Ufunuo 19Ufunuo 19
Compare Ufunuo 19:10Ufunuo 19:10