Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - 1Wafalme - 1Wafalme 8

1Wafalme 8:50-51

Help us?
Click on verse(s) to share them!
50Wasamehe watu wako waliotenda dhambi dhidi yako, na dhambi zao zote ambazo kwazo wamekukosea wewe dhidi ya amri zako. Uwahurumie mbele ya maadui zao ambao waliwachukua mateka, ili kwamba maadui zao pia wawahurumie watu wako.
51Hawa ni watu wako uliowachagau, ambao uliwaokoa toka nchi ya Misri kama kwamba walikuwa katikati ya tanuru amabamo vyuma huyeyushwa.

Read 1Wafalme 81Wafalme 8
Compare 1Wafalme 8:50-511Wafalme 8:50-51