Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Warumi - Warumi 3

Warumi 3:11-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Hakuna mtu ambaye anaelewa. Hakuna mtu ambaye anamtafuta Mungu.
12Wote wamegeuka. Wao kwa pamoja wamekuwa hawana maana. Hakuna atendaye mema, la, hata mmoja.
13Makoo yao ni kaburi lililo wazi. Ndimi zao zimedanganya. Sumu ya nyoka ipo chini ya midomo yao.
14Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.
15Miguu yao ina mbio kumwaga damu.
16Uharibifu na mateso yapo katika njia zao.
17Watu hawa hawajajua njia ya amani.

Read Warumi 3Warumi 3
Compare Warumi 3:11-17Warumi 3:11-17