Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Waamuzi - Waamuzi 1

Waamuzi 1:10-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Yuda akaenda dhidi ya Wakanaani waliokaa Hebroni (jina la Hebroni hapo awali ilikuwa Kiriath-arba), nao wakamshinda Sheshai, Ahimani na Talmai.
11Kutoka huko watu wa Yuda walipigana na wenyeji wa Debiri (jina la Debiri hapo awali ilikuwa Kiriath-seferi).

Read Waamuzi 1Waamuzi 1
Compare Waamuzi 1:10-11Waamuzi 1:10-11