Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Ufunuo - Ufunuo 20

Ufunuo 20:4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake; watu hao walipewa mamlaka ya hukumu. Niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kumtangaza Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawa hawakumwabudu yule mnyama na sanamu yake, wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuso zao, au juu ya mikono yao. Walipata tena uhai, wakatawala pamoja na Kristo kwa muda wa miaka elfu moja.

Read Ufunuo 20Ufunuo 20
Compare Ufunuo 20:4Ufunuo 20:4