Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Mathayo - Mathayo 13

Mathayo 13:51-55

Help us?
Click on verse(s) to share them!
51Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”
52Naye akawaambia, “Hivyo basi, kila mwalimu wa Sheria aliye mwanafunzi wa Ufalme wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.”
53Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,
54akaenda kijijini kwake. Huko akawa anawafundisha watu katika sunagogi hata wakashangaa, wakasema, “Huyu amepata wapi hekima hii na maajabu?
55Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda?

Read Mathayo 13Mathayo 13
Compare Mathayo 13:51-55Mathayo 13:51-55