Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 10

Matendo 10:12-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Ndani ya shuka hiyo kulikuwa na kila aina ya wanyama: wanyama wenye miguu minne, wanyama watambaao na ndege wa angani.
13Akasikia sauti ikimwambia: “Petro, amka uchinje, ule!”
14Petro akajibu, “La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu.”
15Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”
16Jambo hili lilifanyika mara tatu, kisha ile shuka ikarudishwa juu mbinguni.

Read Matendo 10Matendo 10
Compare Matendo 10:12-16Matendo 10:12-16