Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Marko - Marko 9

Marko 9:28-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
28Wakati Yesu alipoingia ndani, wanafunzi wake walimwuliza faragha, “Kwa nini hatukuweza kumtoa?”
29Aliwaambia, “kwa namna hii hatoki isipokuwa kwa maombi.”
30Walitoka pale na kupitia Galilaya. Hakutaka mtu yeyote ajue walipo,

Read Marko 9Marko 9
Compare Marko 9:28-30Marko 9:28-30