Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 12

Luka 12:10-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Yeyote atakayesema neno baya juu ya Mwana wa Adamu, atasamehewa, lakini yeyote atakayemkufuru Roho Mtakatifu, hatasamehewa.
11Watakapowapeleka mbele za wakuu wa masinagogi, watawala, na wanye mamlaka, msiogope juu na namna ya kuongea katika kujitetea au nini mtakachosema,
12kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha namna mtakavyosema kwa wakati huo.”
13Mtu mmoja katika kusanyiko akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie sehemu ya uruthi wangu.”
14Yesu akamjibu, ni nani aliye niweka kuwa mwamuzi na mpatanishi kati yenu.?
15Ndipo akawaambia, Jihadharini na kila namna ya tamaa, kwa sababu uzima wa mtu hauko katika wingi wa vitu alivyo navyo.”
16Yesu akawaambia mfano, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana,
17na akajiuliza ndani yake, akisema, nitafanyaje kwani sina mahali pa kuhifadhi mazao yangu?

Read Luka 12Luka 12
Compare Luka 12:10-17Luka 12:10-17