Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - 1Wafalme - 1Wafalme 4

1Wafalme 4:12-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Baana mwana wa Ahiludi, wa Taanaki na Megido, na Beth Shani iliyo upande mwingine wa Zarethani chini ya Yezreel, Kutoak Bethi Shani mpaka Abeli Mehola iliyo upande mwingine wa Jokimeamu;
13Ben Geberi, ya Ramothi Gileadi (kutoka kwake tunapata miji ya Yairi mwana wa Manase, ambayo iko Gileadi, na mkoa wa Arigobu ulikuwa wake, ambao uko Bashani, miji sitini yenye maboma na yenye nguzo za malango ya shaba);

Read 1Wafalme 41Wafalme 4
Compare 1Wafalme 4:12-131Wafalme 4:12-13