Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:28-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
28Yesu alikuwa akipaza sauti yake hekaluni, akifundisha na kusema, “Ninyi nyote mnanijua mimi na mnajua nitokako. Sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye aliyenituma ni wa kweli, na hamumjui yeye.
29Ninamjua yeye kwa sababu nimetoka kwake na alinituma.”

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:28-29Yohana 7:28-29