Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 7:28-29 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 7:28-29 in Biblia Takatifu

28 Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, “Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.
29 Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”
Yohana 7 in Biblia Takatifu

Yohana 7:28-29 in Biblia ya Kiswahili

28 Yesu alikuwa akipaza sauti yake hekaluni, akifundisha na kusema, “Ninyi nyote mnanijua mimi na mnajua nitokako. Sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye aliyenituma ni wa kweli, na hamumjui yeye.
29 Ninamjua yeye kwa sababu nimetoka kwake na alinituma.”
Yohana 7 in Biblia ya Kiswahili