Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 4

Yohana 4:39-43

Help us?
Click on verse(s) to share them!
39Wasamaria wengi wa kijiji kile waliamini kwa sababu ya maneno aliyosema huyo mama: “Ameniambia mambo yote niliyofanya.”
40Wasamaria walimwendea Yesu wakamwomba akae nao; naye akakaa hapo siku mbili.
41Watu wengi zaidi walimwamini kwa sababu ya ujumbe wake.
42Wakamwambia yule mama, “Sisi hatuamini tu kwa sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu.”
43Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.

Read Yohana 4Yohana 4
Compare Yohana 4:39-43Yohana 4:39-43