Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 4

Yohana 4:37-41

Help us?
Click on verse(s) to share them!
37Kwa kuwa msemo huu ni wa kweli, 'Mmoja apanda na mwingine avuna.'
38Niliwatuma kuvuna ambacho hamkukihangaikia, Wengine wamefanya kazi na ninyi mmeingia katika furaha ya kazi yao.”
39Wasamaria wengi katika mji ule walimwani kwa sababu ya taarifa ya yule mwanamke aliyekuwa akishuhudia, “Aliyeniambia mambo yote niliyoyafanya.”
40Hivyo Wasamaria walipokuja walimsihi akae pamoja nao na akakaa kwao kwa siku mbili.
41Na wengi zaidi wakamwamini kwa sababu ya neno lake.

Read Yohana 4Yohana 4
Compare Yohana 4:37-41Yohana 4:37-41