Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 4

Yohana 4:2-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2(ingawa Yesu mwenyewe alikuwa habatizi ila wanafunzi wake),
3alitoka Judea na akaenda Galilaya.
4Hivyo ilikuwa muhimu kupitia Samaria.
5Na akafika kwenye mji wa Samaria, unaoitwa Sikari, karibu na eneo ambalo Yakobo alimpa mwanae Yusufu.
6Na kisima cha Yakobo kilikuwa hapo. Yesu alikuwa amechoka kwa ajili ya safari na akakaa karibu na kisima. Ilikuwa muda wa mchana.

Read Yohana 4Yohana 4
Compare Yohana 4:2-6Yohana 4:2-6