Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 4

Yohana 4:2-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
3Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;
4na katika safari hiyo ilimbidi apitie Samaria.
5Basi, akafika Sukari, mji mmoja wa Samaria, karibu na shamba ambalo Yakobo alikuwa amempa mwanawe, Yosefu.
6Mahali hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, naye Yesu, kutokana na uchovu wa safari, akaketi kando ya kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.

Read Yohana 4Yohana 4
Compare Yohana 4:2-6Yohana 4:2-6