Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 11

Yohana 11:51-53

Help us?
Click on verse(s) to share them!
51Yeye hakusema hivyo kwa hiari yake mwenyewe, bali kwa vile alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, alibashiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa lao;
52na wala si kwa ajili yao tu, bali pia apate kuwaleta pamoja watoto wa Mungu waliotawanyika.
53Basi, tangu siku hiyo viongozi wa Wayahudi walifanya mipango ya kumwua Yesu.

Read Yohana 11Yohana 11
Compare Yohana 11:51-53Yohana 11:51-53