Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Wimbo wa Sulemani - Wimbo wa Sulemani 7

Wimbo wa Sulemani 7:6-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Jinsi gani ulivyo mzuri na wakupendeza, mpenzi, na mazuri yako.
7Urefu wako ni wa kama mti wa mtende, na maziwa yako kama vifungu vya matunda.
8Niliwaza, “Ninataka kuupanda huo mti wa mtende; nitashika matawi yake.” Maziwa yako nayawe kama vifungu vya mizabibu, na harufu ya pua yako yawe kama mapera.
9Mdomo wako na uwe kama mvinyo bora, ukishuka taratibu kwa mpenzi wangu, ukiteleza kwenye midomo yetu na meno. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe

Read Wimbo wa Sulemani 7Wimbo wa Sulemani 7
Compare Wimbo wa Sulemani 7:6-9Wimbo wa Sulemani 7:6-9