Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Warumi - Warumi 3

Warumi 3:10-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu!
11Hakuna mtu anayeelewa, wala anayemtafuta Mungu.
12Wote wamepotoka wote wamekosa; hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.
13Makoo yao ni kama kaburi wazi, ndimi zao zimejaa udanganyifu, midomoni mwao mwatoka maneno yenye sumu kama ya nyoka.
14Vinywa vyao vimejaa laana chungu.

Read Warumi 3Warumi 3
Compare Warumi 3:10-14Warumi 3:10-14