10Hii ni kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hata mmoja.
11Hakuna mtu ambaye anaelewa. Hakuna mtu ambaye anamtafuta Mungu.
12Wote wamegeuka. Wao kwa pamoja wamekuwa hawana maana. Hakuna atendaye mema, la, hata mmoja.
13Makoo yao ni kaburi lililo wazi. Ndimi zao zimedanganya. Sumu ya nyoka ipo chini ya midomo yao.