Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Warumi - Warumi 15

Warumi 15:30-31

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa ajili ya upendo uletwao na Roho, mniunge mkono kwa kuniombea kwa Mungu.
31Ombeni nipate kutoka salama miongoni mwa wale wasioamini walioko Uyahudi, nayo huduma yangu huko Yerusalem ipate kukubaliwa na watu wa Mungu walioko huko.

Read Warumi 15Warumi 15
Compare Warumi 15:30-31Warumi 15:30-31