Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Waamuzi - Waamuzi 16

Waamuzi 16:9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Sasa alikuwa na watu waliojificha kwa siri, walikaa katika chumba chake cha ndani. Akamwambia, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Lakini akazikata kamba kama uzi wakati unapogusa moto. Na hawakujifunza siri ya nguvu zake.

Read Waamuzi 16Waamuzi 16
Compare Waamuzi 16:9Waamuzi 16:9