Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 4

Mhubiri 4:13-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Ni bora kuwa kijana masikini kuliko kuwa mfalme mzee na mpumbavu ambaye hajui jinsi ya kusikiliza maonyo.
14Hii ni kweli hata kama mtu mdogo anapokuwa mfalme kutoka gerezani, au hata kama alizaliwa masikini katika ufalme wake.
15Ingawa, niliona kila mmoja aliye kuwa hai na kuzunguka chini ya jua wakijitia chini kwa kijana mdogo aliyeinuka kama mfalme.
16Hakuna mwisho kwa watu wote wanaotaka kumtii mfalme mpya, lakini wengi wao hawatamsifu yeye. Hakika hali hii ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.

Read Mhubiri 4Mhubiri 4
Compare Mhubiri 4:13-16Mhubiri 4:13-16