Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 23

Matendo 23:19-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, “Una nini cha kuniambia?”
20Yeye akasema, “Wayahudi wamepatana wakuombe umpeleke Paulo Barazani wakijisingizia kwamba Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu yake.

Read Matendo 23Matendo 23
Compare Matendo 23:19-20Matendo 23:19-20