Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 23:19-20 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 23:19-20 in Biblia Takatifu

19 Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, “Una nini cha kuniambia?”
20 Yeye akasema, “Wayahudi wamepatana wakuombe umpeleke Paulo Barazani wakijisingizia kwamba Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu yake.
Matendo 23 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 23:19-20 in Biblia ya Kiswahili

19 Yule jemadari mkuu akamshika kwa mkono akajitenga naye kando, na akamwuliza, “Ni kitu gani unachotaka kuniambia?”
20 Kijana yule akasema, “Wayahudi wamepatana kukuomba umlete Paulo kesho kwenye baraza kana kwamba wanataka kupata habari zake kwa usahili zaidi.
Matendo ya Mitume 23 in Biblia ya Kiswahili