Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 13

Matendo 13:40-42

Help us?
Click on verse(s) to share them!
40Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
41Sikilizeni enyi wenye madharau, shangaeni mpotee! Kwa maana kitu ninachofanya sasa, nyakati zenu, ni kitu ambacho hamtakiamini hata kama mtu akiwaelezeni.”
42Paulo na Barnaba walipokuwa wanatoka katika ile sunagogi, wale watu waliwaalika waje tena siku ya Sabato iliyofuata, waongee zaidi juu ya mambo hayo.

Read Matendo 13Matendo 13
Compare Matendo 13:40-42Matendo 13:40-42