Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Marko - Marko 8

Marko 8:6-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Aliuamuru umati ukae chini. Akachukua mikate saba, akamshukuru Mungu, na kuivunja. Akawapa wanafunzi wake waiweke mbele yao, nao wakaiweka mbele ya umati.
7Pia walikuwa na samaki wadogo wachache, na baada ya kushukuru, aliwaamuru wanafunzi wake wawagawie hivi pia.
8Walikula na wakatosheka. Na walikusanya vipande vilivyo baki, vikapu vikubwa saba.
9Walikaribia watu elfu nne. Na aliwaacha waende.
10Mara aliingia kwenye mashua na wanafunzi wake, na wakaenda katika ukanda ya Dalmanuta.

Read Marko 8Marko 8
Compare Marko 8:6-10Marko 8:6-10